Wanaume wanaonyonya maziwa wapewa onyo, Utata mpya Hospitali ya Ubungo, Mtifuano hatari serikali za mitaa, Waziri Kangi Lugola awa Trafiki wa muda, Al Kasusu yatikisa wanaume, Vigogo 93 wafyekwa jumla wizara ya maji, Mimba zakatisha masomo wanafunzi 141 Songwe ,100 Tunduru,…Bofya hapa kutazama Habari zilizopewa uzito katika Magazeti ya leo Jumatano, Oktoba 30, 2019.

[youtube https://www.youtube.com/watch?v=5eXbvv0KJoI]

TMA yawataka wakulima kutumia vyema mvua za masika
Habari kubwa katika Magazeti ya Tanzania leo Oktoba 30, 2019