Waziri afuma simu, mihadarati gerezani, Waislamu kuomba dua ya mvua, Kadi namba 2 ACT yasubiri kigogo mwingine, Mji wa Serikali Dodoma wakamilika, Chadema yapinga kortini sheria vyama vya siasa, Tatizo nyonga tishio kiafya, Nyuki wazua kizaazaa shuleni, CUF yawapeleka mahakamani waliochoma bendera zake, Wabunge wa Maalim Seif roho mkononi, Vifungu 12 hatari sheria ya vyama vyaanikwa, Mwakinyo kumtwanga nduguyake Messi leo…, Bofya hapa kujua habari zilizopewa uzito katika Magazeti ya leo Machi 23, 2019.

Mwanaume awaua wanaye watatu kisa mkewe amemuudhi
Waliotuhumiwa kuwa magaidi wa ISIS, Al-shabaab watupwa jela Rwanda