Tazama jinsi mawakili kutoka Gouden Ink Attorney  walivyochambua sheria ya ndoa, aina za ndoa, umri sahihi wa kufunga ndoa, na haki za ndoa..

Moja ya aina ya ndoa ambayo wanasheria hao wameainisha ni ndoa ya mwanamke mmoja kuolewa na wanaume wengi, japokuwa aina hiyo ya ndoa haipo kwenye sheria zaTanzania bali hutumika kwenye baadhi ya nchi zinazoitambua na kuruhusu sheria hiyo.

Aidha, wanasheria hao wamenyambua kuwa sheria hiyo inaweza kutumika ikitokea kuna uhitaji maalumu au ikaonekana kuna ulazima wa aina hiyo ya ndoa kutumika.

Japokuwa tunafahamu kuwa duniani kote idadi ya wanawake ni kubwa kulinganisha na idadi ya wanaume, Je hiyo inaweza kuwa sababu ya Sheria kuruhusu aina hiyo ya ndoa.

Tazama video hapa chini, kisha shusha komenti yako.

Video: Aliyepoteza bikra kwa kubakwa asimulia, nilijaribu kujiua mara 4, Daktari ''ukiweza kulia-lia''
Polisi yanasa wahamiaji haramu na nyara za Serikali