Spika amshukia Zitto sakata la CAG, Kimbunga Kenneth kutikisa, JPM, Mutharika waahidi kukuza uchumi, Wabunge wahoji hatima masheikh wa Uamsho, Jela miaka mitano kwa wizi wa mtoto, Lissu kufanyiwa vipimo vya mguu mmoja Mei 14, Serikali yatoa maagizo mazito,…Bofya hapa kujua habari zilizopewa uzito katika Magazeti ya leo April 26, 2019.

[youtube https://www.youtube.com/watch?v=PMnFQB7_RbY]

Habari kubwa katika magazeti ya Tanzania leo Aprili 26, 2019
Serikali yatangaza mapumziko kesho, yazima shamrashamra kuokoa milioni 988.9