Siku 7 za roho juu usajili laini za simu, Katibu Mkuu akemea rushwa ya ngono vyuoni, Waziri acharuka ujenzi wa Hospitali, Muhimbili yakabiliwa na uhaba wa damu, Bulaya adai ndoa yake haijavunjika, Makocha Simba, Yanga watambiana…,Bofya hapa kujua habari zilizopewa uzito katika Magazeti ya leo jumanne Desemba 24, 2019.

Serikali kuwachukulia hatua wasiounganisha umeme majumbani
Dkt. Jingu akemea ukatili wa kijinsia vyuo elimu ya juu