Serikali yavunja ukimya suala la Tundu Lissu, yasema ipo tayari kugharamia matibabu popote yatahadharisha kuhusu harakati za kumchungia, Uchaguzi wa Rais Kenya wapigwa kalenda, Â Zitto ashusha nyundo 10 Â kamati ya Bunge Kenya, Mbaroni akidaiwa kumchinja mumewe, Kiama zaidi vyeti feki…Hizo ni moja ya habari kubwa zilizopewa kipaumbele katika magazeti ya Tanzania leo Septemba 22, 2017. Tazama video.