Serikali yacharuka sakata la mafuta ya kula, Waziri awapa siku tatu wafanyabiashara kuingiza mafuta sokoni, msako kuanza jumapili, Dawa kinga ya ukimwi yazinduliwa, Ridhiwani akana kumrithi Manji, Minong’ono ya Sugu kutoka jela yatawala, Yanga kuipa ubingwa Simba leo…, Bofya kutazama habari zote zilizopewa uzito katika Magazeti ya Tanzania leo Mei 10, 2018.

Aliyeolewa mara 11 auawa kwa kupigwa Mawe
Bora Wakoloni kuliko serikali ya CCM- Heche