Panya Road watikisa Dar Mwaka Mpya, wacharanga watu mapanga, wapora simu na fedha, Mvua ya dakika 40 yaleta majanga, JPM apiga marufuku maagizo kutoka juu, awataka watumishi wauma wa umma wafanye kazi kwa kujiamini, Lukuvi asema Tanzania haiwezi kapangiwa mambo yake…, Bofya hapa kutazama habari zilizopewa uzito katika kurasa za mbele za magazeti ya leo Januari 2, 2019.

Rais Magufuli awageukia watumishi... 'msiseme maagizo kutoka juu'
Waziri Mkuu apokea vyumba vya madarasa