Ndege mpya ya sita kuwasili leo, Zitto, Ndugai wanyukana sakata la CAG kuhojiwa, Wapinzani nchini watoa neno mpinzani kushinda urais DRC, Shule binafsi nchini zatiwa kitanzi kikali, Sakata la CAG Spika Ndugai limedamshi, Watumishi wa Ardhi wasakwa viwanja 9,000, Wanne wafariki dunia kwa kula kibudu…,Bofya hapa kufahamu habari zilizopewa uzito katika kurasa za mbele za magazeti ya leo Januari 11, 2019.

Ki-Jana aishangaza Liverpool kwa kumdhibiti vikali Mo Salah
Moto wa Ali Kiba, Diamond, Chris Brown wawatibua Wakenya, wawaponza wanasiasa