Mbowe asafishiwa njia, PPRA yanusa ufisadi mabilioni taasisi 39, Wanaoendesha mauaji mipakani kiama chaja, JPM ashtukia mbinu za mabeberu, vibaraka wao, Sirro aagizwa kufika Ikungi kutathmini kituo cha polisi, Aliyepita bila kupingwa akataliwa na wananchi, Vifurushi bima ya afya  pasua kichwa,… Bofya hapa kujua Habari zilizopewa uzito katika Magazeti ya leo Jumatatu Desemba 2, 2019.

[youtube https://www.youtube.com/watch?v=L2epSyhMyrc]

Unyanyapaa wakithiri Njombe mazishi ya wenye VVU, waitwa 'watumia mashudu'
Suleiman Matola kurudi Msimbazi, Polisi Tanzania wasubiri kulipwa fidia