Mazito ya Mengi, Dar yazizima, Kasi ya Magufuli yaikuna IMF,Mke asherehekea mumewe mumewe kufungwa miaka 60 jela, TRA yatangaza hakuna biashara itakayofungwa, Mamia wapokea mwili wa mengi, Mamia waliotumbuliwa vyeti feki warejeshwa,…Bofya hapa kutazama habari zilizopewa uzito kwenye magazeti ya leo Mei 7, 2019.

Habari kubwa katika Magazeti ya Tanzania leo Mei 7, 2019
Video: Mwili wa Mengi ukiwasili: Dar yasimama kwa masaa 3 / Msafara wazongwa na wananchi kila kona