Barnaba ameachia ngoma yake mpya aliyomshirikisha msanii toka kundi la ya moto band lililovunjika tangu mwaka jana, dogo Aslay ambaye amekuwa tishio kwa wanamuziki kwa kutoa nyimbo nyingi, kali na nzuri zinazotamba mtaa kwa mtaa.

Wimbo huo umechezwa katika mazingira ya kijijini huku mpendezesha video akiwa mwanadada maarufu Tunda.

Kuitazama video hiyo bonyeza link hapo chini

Ole Sendeka amcharukia Mange Kimambi
Kanisa tajiri Botswana lafungiwa