JPM, Lowassa waguswa pamoja, Sumaye atingishwa tena, Anyang’anywa shamba jingine la ekari 326, akumbuka alivyoambiwa atatembelea ndala, Bill Gates aanza kuitangaza Tanzania, Mwijage ‘awakosha’ wenye viwanda, Ngome za Raila zatibuka Kenya…, Hizo ni moja ya habari kubwa zilizopewa kipaumbele katika magazeti ya Tanzania leo Agosti 13, 2017. Tazama video

Video: DataVision kugeuza simu za wanafunzi kuwa kompyuta za kujifunzia
Sumaye: CCM wananifanyia fitina kuninyang'anya mashamba