Hofu yatanda upinzani, Makonda aruka viunzi 9 vya JPM, Siri za kimkakati Chadema shakani, CCM wazidi kuvuna vigogo wa Chadema, Mwisho magogo kukatia nyama buchani wawadia, Zitto akutwa na kesi ya kujibu…, Bofya hapa kujua habari zilizopewa uzito katika Magazeti ya leo Jumatano Februari 19, 2020.

Nzige watua Sudan kusini
Master Jay asimulia alivyoanguka studio, ‘Daktari alisema sitazidi miaka 5, nilipelekwa A. Kusini,’