CAG kikaangoni, atua Dodoma tayari kwa kuhojiwa na kamati ya Bunge kuhusu madai ya kudhalilisha Bunge, Halima Mdee naye kuwekwa kitimoto kesho, Zitto ageuka Mtikila, ashinda kwenye korido za mahakama na kusahau kuijenga ACT Wazalendo, Diwani asusiwa maiti kyela, Tundu Lissu amjia juu spika, amjibu Makonda, Wanafunzi 140 wapata mimba…, Bofya hapa kutazama habari zilizopewa uzito katika magazeti ya leo Januari 21, 2019.

Mnangagwa maji ya shingo, asitisha ziara yake ya nchi za Nje
Fayulu awashinikiza wafuasi wake kuandamana