Bunge kumhoji mwanamke aliyejifungua kituo cha polisi, Spika Ndugai ameagiza kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Usalama na Ulinzi kumhoji mwanamke aliyejifungulia katika kituo cha polisi Mng’ula wilayani Kilombero, Kiama viongozi wa umma J’tatu, Mbowe, vigogo tisa waomba kukata rufaa, Serikali kuwasaidia wenye wake wawili, Jamii Forum yasitisha utoaji huduma…,Bofya hapa kutazama habari zilizopewa uzito katika magazeti ya Tanzania leo, Juni 12, 2018.

Serikali yaziweka mtegoni kampuni za ununuzi wa Pamba
UDSM yapata pigo, wanafunzi watatu wafariki dunia