Msanii wa muziki nchini Uganda, Moses Sekibooga maarufu kwa jina la kisanii Mozey Radio afariki dunia

Mwanamuziki huyo alikimbizwa Hospitali ya Nsambya siku ya tarehe 23 Januari, 2018 baada ya kuanguka na kuvunjika shingo na fuvu la kichwa wakati akiwa kwenye ugomvi na mlinzi wa ukumbi mmoja wa starehe.

Hata hivyo Hospitali hiyo haikuweza kumhudumia kutokana kuwa kitengo cha wagonjwa mahututi kujaa ndipo msanii huyo alihamishiwa Case Clinic iliyopo Bungando Road jijini Kampala, na kufariki dunia.

Wastara kuondoka februari 4
Video: Lissu ahoji Polisi maswali 13 magumu, JPM atoboa siri ufisadi pasipoti