Siku moja baada ya kuibuka washindi wa kombe la CECAFA Woman Challenge, timu ya wanawake ya Tanzania Bara, Kilimanjaro Queens imewasili nchini kwa kupitia mkoani Kagera ambapo Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Meja Generali Mstaafu Salim Kijuu amewapokea.

pix-1-10Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Meja Generali Mstaafu Salim Kijuu akisalimiana na baadhi ya wachezaji wa Kilimanjaro mara baada ya kuwasilini Mkoani Kagera wakitokea nchini Uganda kushiriki mashindano ya CECAFA kwa wanawake ambapo wameibuka mabingwa kwa mwaka 2016.pix-2-3

pix-3-5

pix-4-4Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja, Generali Mstaafu Salim Kijuu akipokea kikombe cha ubingwa wa CECAFA kwa wanawake kutoka kwa Nahodha wa Kilimanjaro Queens, Sophia Mwasikili.

pix-6-3Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Meja Generali Mstaafu Salim Kijuu(kushoto) akiinua juu kikombe cha ubingwa wa CECAFA kwa wanawake alichokipokea kutoka kwa Nahodha wa Kilimanjaro Queens Sophia Mwasikili(kulia).

pix-5-3

Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Meja Generali Mstaafu Salim Kijuu(kushoto) akipokea Bendera ya Taifa kutoka kwa katibu wa Chama cha Mpira mkoani Kagera Bw. Salum Chama mara baada ya Mabingwa wa CECAFA kwa wanawake Kilimanjaro Queens kuwasili kutoka Nchini Uganda katikati ni Mwenyekiti wa Soka la wanawake Amina Karuma. (Picha na Hassan Silayo Maelezo) 

Zeben Aipanga Vilivyo Azam FC
Uamuzi wa kuoa ni ujasiri wa watu wachache, wengi wao ni waoga.