Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo, Omary Mgumba amefanya Kikao na watumishi wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji.
Â
Akiwa safarini kutoka jijini Dar es salaam kuelekea mkoni Ruvuma kikazi, Mgumba amewasisitiza watumishi wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji kufanyakazi kwa bidii na kujituma.
Â
Aidha, amesisitiza ushirikiano na ueledi ili kutimiza dhima ya Serikali ya Awamu ya Tano ili kuleta maendeleo katika uzalishaji wa chakula kupitia kilimo cha Uhakika cha Umwagiliaji kuelekea Tanzania ya viwanda.