Hatimae shirikisho la duniani FIFA limemaliza mzizi wa fitna kwa kupanga makundi ya fainali za kombe la dunia za 2018, zitakazounguruma nchini Urusi kuanzia Juni 14 hadi Julai 15.

Hafla ya upangaji wa makundi ya fainali hizo zinazosubiriwa kwa hamu kubwa na wadau wa soka ulimwenguni kote, zimefanyika State Kremlin Palace mjini Moscow nchini Urusi.

Kundi A: Russia, Uruguay, Egypt, Saudi Arabia

Kundi B: Portugal, Spain, Iran, Morocco

Kundi C: France, Peru, Denmark, Australia

Kundi D: Argentina, Croatia, Iceland, Nigeria

Kundi E: Brazil, Switzerland, Costa Rica, Serbia

Kundi F: Germany, Mexico, Sweden, South Korea

Kundi G: Belgium, England, Tunisia, Panama

Kundi H: Poland, Colombia, Senegal, Japan

 

Picha: Kilimanjaro Stars yafanya mazoezi Machakos Academy.
Wawakilishi wa Afrika kombe la dunia kulamba $ 500,000