Yafuatayo ni majina ya wanafunzi waliofanya vizuri na kuongoza kitaifa katika matokeo ya kidato cha nne kwa mwaka 2017.

Kumi bora wanafunzi waliongoza ni

  1. Felison Mdee, Marian Boys
  2. Elizabeth Mangu, Marian Girls
  3. Anna Benjamini Mshana, Marian Girls
  4. Emmanuel Lameck Makoye, Iliboro
  5. Lukelo Thadeo Luoga, Iliboro
  6. Fuad Thabit, Feza Boys
  7. Godfrey Mwakatage, Uwata
  8. Baraka Mohamed, Angels
  9. Lilian Moses Katabalo, Marian Boys.
  10. Everline Edward Mlowe, St. Francis

wasichana 5 bora, waliofanya vizuri mtihani kidato cha nne, 2017.

  1. Elizabeth Mangu
  2. Anna Benjamin Mshana
  3. Lilian Moses Katabalo
  4. Everline Edward Mlowe
  5. Rose Godfrey

Wavulana 5 bora, waliofanya vizuri mtihani kidato cha nne 2017.
1. Filson mdee
2. Emmanual lameck makwe
3. Lukelo Thadeo
4. Fuad Thabit
5. Godfrey baraka

Nabii Tito aendelea kusota rumande
Viongozi wa NASA walalama Serikali kuwanyang’anya walinzi