Tazama hapa moja kwa moja kutoka Jijini Dar es salaam, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akiweka jiwe la Msingi upanuzi wa barabara ya Kimara hadi Kibaha yenye urefu wa Kilomita 19.2

Video: Sakata la Membe kitendawili CCM, Vyama 6 vyatoa msimamo mzito
CCM yawafutia adhabu wasaliti, yamteua Mtolea kugombea Temeke