Fuatilia hapa matangazo ya moja kwa moja kutoka jijini Dar es salaam uwanja wa ndege wa taifa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa mgeni rasmi katika hafla ya kupokea ndege ya sita aina ya Aibus A220-300 iliyopewa jina la Ngorongoro.

WhatsApp yaanza majaribio ya kutumia 'Fingerprint' kama nywira
Davido, Chioma ndoa yaiva