Tazama hapa Mubashara Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa akiongoza Kongamano la Maadhimisho ya Kumbukizi ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere linalofanyika katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, Kigamboni jijini Dar es salaam.

Tazama hapa

'Update App' ya Dar24 Media: Taarifa Bila Mipaka
Video: Ripoti ya CAG madudu kila kona, Mauaji ya watoto yametia doa Njombe - Magufuli