Baadhi ya Wakazi wa Jimbo la Buyungu waliojitokeza Kupiga Kura kumchagua Mbunge wao wakiwa kwenye mistari kuingia ndani ya Kituo cha Kupigia Kura wilayani Kakonko leo. Katika uchaguzi huo vyama 10 vya Siasa vimesimamisha wagombea.

Kangi Lugola jino kwa jino na matapeli sekta ya michezo
Kwasasa mimi ni balozi wa Rais Dkt. Magufuli- Mtatiro