Fahamu yote yaliyojiri katika Magazeti ya Tanzania leo Novemba 17, 2018. Hapa unapata habari zote zilizopewa uzito katika kurasa za mbele na kurasa za nyuma za habari za michezo na burudani.

Video: Fedha za Korosho utata, Lema afunguka kuhusu utoro, Benki ya Dunia yatoa sh. bil 680 kusaidia elimu
Mbunge CUF asababisha mbunge wa Chadema kufukuzwa