Fahamu yote yaliyojiri katika Magazeti ya Tanzania leo Januari 12, 2019. Hapa unapata habari zote zilizopewa uzito katika kurasa za mbele na kurasa za nyuma za habari za michezo na burudani.

Mzee wa miaka 80 auawa kikatili mkoani Kagera
Tume ya Uchaguzi Congo DR yaivimbia UN 'Tunamaamuzi yetu'