Fahamu yote yaliyojiri katika Magazeti ya Tanzania leo Desemba 16, 2018. Hapa unapata habari zote zilizopewa uzito katika kurasa za mbele na kurasa za nyuma za habari za michezo na burudani.

Umeme kukatika : Waziri aipa TANESCO siku 7, aagiza vigogo watumbuliwe
Video: Zitto ni mchawi, kaniroga sana kashindwa na sio raia wa Tanzania- Katibu UVCCM Kigoma