Fahamu yote yaliyojiri katika magazeti ya Tanzania leo Aprili 17, 2019. Hapa unapata habari zote zilizopewa uzito katika kurasa za mbele, kurasa za nyuma za habari za michezo na burudani.

Video: Dkt. Bashiru awataja watakaofyekwa CCM, Mawaziri wahamia ofisi mpya za mabati
Ndugai atahadharisha uhaba wa chakula, "Suala hili halipaswi kufichwa"