Mwimbaji wa ‘Siachani Naye’ na ‘Nivumilie’, Barakah Da Prince amepewa shavu na rapa mkubwa nchini Kenya, Rabbit aka King Kaka Sungura.

Rabbit ambaye anatajwa kuwa kati ya rappers 5 wakubwa zaidi nchini Kenya amewapa mashabiki wake taarifa kuhusu collabo yake na msanii huyo toka jiji la miamba Mwanza.

baraka

“King Kaka ft Barakah Da Prince Loaaaaaaading….. @barakah_daprince ….. kubwaaaaa,” Rabbit aliandika Instagram.

King ameiambia Clouds Fm kuwa wimbo huo utatoka baada ya wiki mbili.

 

Diamond Kama Magufuli Tanga
Azam FC Waweka Msimamo Kabla Ya VPL Kuanza